TEHRAN (IQNA) – Imam Sadiq (AS) aligawanya sayansi za Kiislamu katika nyanja mbalimbali kama vile Fiqhi (sheria), teolojia, Hadith, tafsiri ya Qu’rani Tukufu, n.k, na kuanzisha mkondo wa maendeleo ya elimu.
Habari ID: 3477719 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/12
Hojat-Al-Islam Morteza Torabi ni mfasiri wa Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kituruki na amejaribu kutumia wafafanuzi wa Kishia wa Quran Tukufu katika kazi yake.
Habari ID: 3477194 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/26
Waislamu wa Madhehebu ya Shia
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt AS ulimalizika hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3475731 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04
Habari ID: 3470185 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/08